Monday, May 6, 2013

CHUO KIKUU CHA KIMATAIFA VIRGINIA (VIU) CHATOA UNAFUU KWA WANAFUNZI WA KITANZANIA WATAKAOJIUNGA NA CHUO HICHO


Kutoka Viwanja Vya Bunge Mjini Dodoma LEO

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AONANA NA UJUMBE KUTOKA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII.

Maonesho ya Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) kuanza Tarehe 13.05.2013 hadi 18.05.2013 Mkoani Dodoma.

Afisa Uhusiano Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Sarah  Kibonde Msika akitoa neno la ukaribisho kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jijini Dar es Salaam ili kutoa taarifa ya wiki ya maonyesho ya hifadhi hiyo yatakayoanza tarehe 13 hadi 18 Mei mwaka huu katika viwanja vya Nyerere Squere mjini Dodoma. 
 Afisa Mahusiano wa PSPF Fatma Eliharid kifuatilia mkutano kuhusiana na wiki ya maonyesho ya hifadhi hiyo yatakayoanza tarehe 13 hadi 18 Mei mwaka huu katika viwanja vya Nyerere Squere mjini Dodoma. 
  Mkurugenzi  Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka  akiongea na waandishi wa habari kuhusiana na wiki ya maonyesho ya hifadhi hiyo yatakayoanza tarehe 13 hadi 18 Mei mwaka huu katika viwanja vya Nyerere Squere mjini Dodoma na kusititiza wananchi wajitokeze kwa wingi.
 Mkutano ukiwa Unaendelea

MLIPUKO WA BOMU ARUSHA:Raia wa wanne wa Saudi Arabia washikiliwa na Polisi Arusha.

MAKAMU WA RAIS DKT. AHUDHURIA SHEREHE ZA KUSIMIKWA ASKOFU MPYA WA KANISA LA KKKT DAYOSISI YA KUSINI MASHARIKI YA ZIWA VICTORIA

TANZANIA KUUNGANA NA KENYA NUSU FAINALI

Zantel yazindua promosheni ya ‘Kwangua na Ushinde’ kwa wateja wa Zanzibar

Tiketi za sherehe za kuadhimisha miaka 13 ya muziki wa Lady Jaydee zimeshaanza kuuzwa mtaani

Tiketi za sherehe za kuadhimisha miaka 13 ya muziki wa Lady Jaydee zimeshaanza kuuzwa mtaani na huo hapo juu na chini ndio mfano wa jinsi zilivyo ambapo ya juu ni ile ya VIP itakayokuwezesha kupata chakula, nakala ya CD pamoja na huduma maalum ya kinywaji cha kuanzia

Hii hapa chini ni ya kawaida itakayokuwezesha kushiriki onesho, na kushuhudia burudani lukuki zitakazoongizwa na Profesa Jay, TID, Matonya, Grace Matata pamoja na Lady Jaydee mwenyewe na Machozi Band itaonekana jukwaani live siku hiyo.

Tiketi zinapatikaka Shear Illusions-Mlimani City, BM BarberShops-Kinondoni, City Sports Lounge-City Centre, American Nails-Kinondoni, Nyumbani Lounge-Tranic Plaza, na katika Bar za Samaki samaki

No comments:

Post a Comment