Friday, May 3, 2013

RAIS KIKWETE AMPOKEA RAIS WA SERIKALI YA MPITO YA MADAGASCAR ALIETUA DAR JIONI HII KWA MAJADILIANO

Airtel yatangaza mshindi wa million 50 wa promosheni ya Amka millionea

MFANYABISHARA AJIRUSHA KUTOKA GHOROFA YA 9 KARIAKOO

TAMASHA LA CHEKANAO NA VODACOM LILIVYOBAMBA COCO BEACH

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012 KUSAHISHWA UPYAAAA

BARCLAYS TANZANIA YATOA SHS. 61 MILLIONI KWA BAYLOR TANZANIA KUSAIDIA VIJANA WANAOISHI NA VIRUSI VYA UKIMWI (HIV/AIDS)

KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AKUTANA NA BALOZI WA CANADA NCHINI MHE ALEXANDRE LEVEQUE LEO

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL APOKEA VIFAA VYA MICHEZO KWA AJILI YA VIJANA WA HARAIKI WA MBIO ZA MWENGE KUTOKA BENKI YA NMB


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea sehemu ya vifaa vya michezo vyenye thamani ya Sh. Milioni 35, kwa ajili ya vijana wa Haraiki ya Mbio za Mwenge utakaowashwa Visiwani Pemba Mei 6, mwaka huu, kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Serikali wa Benki ya NMB, Domina Feruzi, wakati wa makabidhiano hayo yaliyofanyika Ofisini kwa Makamu, Ikulu jijini Dar es Salaam, jana Mei 2, 2013. Kushoto ni Meneja wa Kitengo cha Huduma za Serikali wa benki hiyo, Elieza Msuya.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na wageni wake kutoka Benki ya NMB, baada ya makabidhiano ya vifaa vya michezo vyenye thamani ya Sh. milioni 35 kwa ajili ya vijana wa Haraiki wa mbio za Mwenge unaotarajia kuwashwa Mei 6, mwaka huu Visiwani Pemba.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Serikali wa Benki ya NMB, Domina Feruzi (wa pili kulia) Meneja wa Kitengo cha Huduma za Serikali wa benki hiyo, Elieza Msuya (kulia) Ofisa Mahusiano wa benki hiyo, Doris Kilale (wa pili kushoto) na Huruma Mwaihomba, Ofisa Mahusiano wa benki hiyo, baada ya makabidhiano hayo.
Picha na Muhidin Sufiani-OMR

BARCLAYS TANZANIA YATOA SHS. 61 MILLIONI KWA BAYLOR TANZANIA KUSAIDIA VIJANA WANAOISHI NA VIRUSI VYA UKIMWI (HIV/AIDS)

NMB YAENDELEA KUWAHUDUMIA WATEJA WAKE KWA USTADI WA HALI YA JUU.

 Afisa wa Benki ya NMB tawi la Ilala Bw Cuthbert Zimbwe akimuhudumia mmoja wa wateja wa NMB waliofika katika tawi hilo kwaajili ya Kupata huduma za Kibenki. NMB imeendelea kuwahudumia Wateja wake
Afisa wa Benki ya NMB  tawi la ilala Cuthbert Zimbwe akiwa na furaha ya kuwahudumia wateja Waliofika na watakaofika tawini hapo kwaajili ya kujipatia huduma mbalimbali za kibenki. Sasa mteja wa Benki ya NMB anaweza kupata Huduma za Kibenki kupitia Simu yake ya Mkononi bila yeye kufika kwenye Matawi ya NMB. JISEVIE Ni huduma ambayo mteja wa NMB anatakiwa kujiunga na Huduma ya NMB Mobile kwaajili ya kuweza kupata huduma za kibenki kupitia Simu yake ya mkononi.
NMB ni Benki ambayo inaongoza kuwa na mashine zaidi ya 500 za kutolea Pesa Nchini Nzima na Ni benki inayoongoza Kuwa na Matawi Mengi zaidi ya 150 Nchini Nzima. NMB Benki yako, Popote ulipo tumekufikia

No comments:

Post a Comment