
Alhaji Aliu Mahama, the West African country’s Vice
President from 2001 to 2009, died today November 16, at the Cardio Centre of the
Korle Bu Teaching Hospital.
Alhaji Aliu Mahama, the West African country’s Vice President from 2001 to 2009, died today November 16, at the Cardio Centre of the Korle Bu Teaching Hospital.
Hospital sources confirmed news of his death to local media at about 10: 20am.
Rumours about Mahama’s death made the rounds in local media this week only for his family and hospital officials to debunk them, insisting he was doing fine, and that plans were far advanced for him to be flown abroad for treatment.
However, it appeared he could no longer hold on, as he finally passed away on Friday morning, sending waves of sorrow across a country yet to recover from Atta Mills’ death.
Sources say Mahama was on life support for the past few days, due to heart related complications.
Mahama was born on March 3, 1946. He was a Quantity Surveyor by occupation. He became Ghana’s Vice President under the John Agyekum Kufour/NPP administration from January 7 2001 to January 7 2009.
For Source CLICK HERE
RAIS KIKWETE AFUNGA MKUTANO WA MAJAJI ARUSHA LEO




SERENGETI BOYS KUSHINDA NYUMBANI KWANZA


Katibu Mkuu Mpya wa CCM Abdulrahman Kinana Aripoti Rasmi Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijinbi Dar es Salaam

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimia wafanyakazi wa
Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijinbi Dar es Salaam,
aliporipoti rasmi kazini kwenye ofisi hizo leo asubuhi.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungumza na Katibu wa
Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, aliporipoti
leo ofisini, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini
Dar es Salaam.Picha na Bashir Nkromo-Itikadi na Uenezi,-CCM
KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI AFANYA ZIARA BARAZA LA KISWAHILI LEO


MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATOA MHADHARA CHUO KIKUU CHA KILIMO SUA MJINI MOROGORO LEO



Airtel na Unesco kuzindua radio za jamii Arusha vijijini - Ololosokwani
Na Mwandishi wetu
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kwa kushirikiana na shirika la umoja wa mataifa la UNESCO (kesho) jumamosi tarehe 17 Novemba watazindua rasmi radio ya jamii katika kijiji cha Ololosokwani kilichopo tarafa ya Loliondo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Bi Beatrice Singano Mallya ametaarifu kuwa sherehe ya uzinduzi wa radio hiyo ya kijamii inatarajiwa kuhudhuriwa na mgeni wa heshima Waziri wa Mawasiliano nchini Profesa Makame Mbarawa katika kijijini cha Ololosokwani Akiendelea kuelezea alisema "Airtel na Unesco wanatimiza dhamira waliojiweke ya kuwafikia na kusaidia jamii zilizopo pembezoni hasa wakina mama ambao katika jamii hizi wamekuwa wakiachwa nyuma katika mambo mengi na mwisho wake kutotambua nafasi zao"
Singano alisema "Mradi huu utasaidia kupigana na kutokomeza changamoto za mila zilizopitwa na wakati zikiwemo ukiketwaji wa wanawake, elimu duni, imani za kishirikina, umaskini ,unyanyasaji wa kijinsia, kukua kwa kasi kwa ugonjwa wa ukimwi na matatizo mengine maandalizi ya sherehe ya ufunguzi yamekamilika na kubainisha kuwa wananchi wa vijiji vyote jirani na ololosokwani takribani vijiji 14 watafaidika pia kwa kujipatia huduma bora kutoka Airtel ikiwemo ile ya
Airtel Money pesa mkononi wakati wowote kijijini hapo alimaliza kusema Bi, Singano
Akifafanua kuhusu ufungwaji wa Mitambo hiyo ya radio, Afisa mradi wa habari na mawasiliano UNESCO Yusuph Al Amin amesema "mradi wetu wa kijamii umekamilika, tunawashukuru Airtel na wananchi wote kwa ushirikiano wao wa kutuunga mkono kukamilisha lengo, mitambo hii ya mawasiliano utatoa fulsa kwa wakazi wote wa ololosokwani na vjiji jirani kujifunza mambo mapya, pia tunaanzisha multimedia center ambayo utawaweza wakazi wa kijiji hapa kutembelea tovuti mbalimbali, na kuunganishwa na mtandao wa kisasa wa intaneti ya Airtel"
Sehemu nyingine zitakazonufaika na mradi huo wa radio za kijamii ni pamoja na Sengerema Mwanza, Karagwe Kagera, Chake Chake Pemba, Makunduchi Unguja, Pangani Tanga, Kyela Mbeya and Kalama Shinyanga.
RPC KIGOMA AWAPA MAKOTI MAALUMU WAENDESHA BODABODA


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma Frasser Kashaiakimvalisha koti mmoja wa waendesha piki piki(Reflector Jacket)

TAMKO RASMI KUTOKA KWA ASKOFU METHOD KILAINI DHIDI YA GAZETI LA MWANANCHI KUANDIKA KWAMBA AMEIPONDA SAFU YA UONGOZI NA SEKRETARIATI YA CCM
Askofu Method Kilaini Bukoba Catholic Diocese
---
Kwa
masikitiko makubwa nimesoma katika gazeti la Mwananchi kwamba
nimeiponda safu ya uongozi na sekretariati ya CCM. Mimi sijaongea na
gazeti lolote juu ya uongozi wa CCM na wala sina nia au sababu ya
kuuponda uongozi huo. Ni
vibaya kwa gazeti lo lote lile kutumia jina la mtu kwa kueneza maoni
yake. Kama ni waugwana natumaini watasahihisha waliyoyaandika.
Nasikitika sana kwa walikwazwa na hilo. Askofu Kilaini
Askofu Method Kilaini
Bukoba Catholic Diocese
No comments:
Post a Comment