Thursday, May 31, 2012


RIHANNA AJIACHIA NA PICHA ZAKE ZA JARIDA LA ESQUIRE KWA MARA YA KWANZA KATIKA MTANDAO WA TWITTER


Mwanadada Rihanna ameutumia mtandao wa kijamii aupendao zaidi Twitter, kutoa picha za kwanza alizopiga kwa ajili ya jarida la Esquire. Kama kawaida, Rihanna ametoka bomba kinomanoma! RiRi hakuweka picha peke yake bali aliziongezea maneno ya uchokozi kutoka kwenye wimbo wake ‘Hard’! “They can say whateva, ima do whateva,” Ain’t like me, dat bitch too phony”, na kwenye picha anayoonekana na

No comments:

Post a Comment