Friday, June 22, 2012

UNYAMA WA NAMNA HII HAUFAI JAMANI KUWENI NA HURUMA AKINA MAMA

Mtoto Mchanga akutwa ametupwa akiwa amefariki karibu na Msikiti wa Soweto jijini Mbeya Asubuhi hii


 Mwili wa Marehemu Mtoto mchanga ambaye hayafahamika mama yake amekutwa ametupwa karibu na Msikiti wa Soweto Mbeya Asubuhi hii.
JAMANI TUBADILI TABIA TUWE NA ROHO ZA KIBINADAMU UNYAMA WA NAMNA HII HAUFAI KABISAAA!!

No comments:

Post a Comment