Monday, June 11, 2012

WAZIRI WA HABARI AZUNGUMZA NA MAAFISA HABARI NA MAWASILIANO WA SERIKALI LEO JIJINI MWANZA

WAZIRI WA HABARI AZUNGUMZA NA MAAFISA HABARI NA MAWASILIANO WA SERIKALI LEO JIJINI MWANZA

Waziri wa Habari, vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella  Mukangara akiongea na maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali leo jijini Mwanza.Pamoja na mambo mengine amewataka maafisa hao kuielimisha jamii kuhusu masuala mbalimbali ya maendeleo yanayofanywa na serikali kupitia vyombo vya habari. 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Seith Kamuhanda (mstari wa kwanza) akifuatilia mada  kuhusu changamoto zinazoikabili Tanzania katika kuhama kutoka mfumo wa Analojia  kwenda Digitali kufikia mwaka 2012 katika Kikao kazi cha Maafisa habari na Mawasiliano wa Serikali leo jijini Mwanza. Wengine wanaoonekana nyuma ni maafisa habari na Mawasiliano wa Serikali.
Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali wakifuatilia kwa makini hotuba  iliyokuwa ikitolewa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo leo jijini Mwanza.
Waziri wa Habari, Vijana na Utamaduni Dkt. Fenella Mukangara (mstari wa kwanza katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Viongozi wa Wizara hiyo na maafisa habari na Mawasiliano wa Serikali  mara baada ya kufungua kikao kazi cha Maafisa Habari na Mawasiliano leo jijini Mwanza.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakikagua mahindi shambani kwao kijijini Msoga,Chalinze,wilayani Bagamoyo wakati wa mapumziko ya mwisho wa wiki(picha na Freddy Maro)

Iringa wajitokeza kwa wingi kushuhudia uzinduzi wa huduma mpya ya airtel Jiunge na supa5

 Msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya (hip hop),aitwaye Roma akiwarusha baadhi ya Wakazi wa mji wa Iringa walijitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa Mwembe Togwa,mjini humo na kushuhudia uzinduzi wa huduma mpya ya airtel Supa5 yenye lengo la kutoa huduma tano nafuu za huduma za mawasiliano kupitia Airtel.huduma hiyo itaendelea kutambulishwa tena katika mkoa wa Arusha na baadaye jijini Mwanza.

Mmoja wa wakazi wa Iringa aitwaye Theresia Mifwa akikabidhiwa simu ya mkononi aina ya sumsung na Meneja Mahusiano wa  Airtel-Tanzania,Jackson Mmbando, mara baada ya kuichambua vyema huduma ya Jiunge na Supa5 kwa ufasaha ,wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya Airtel Jiunge na Supa5 uliyofanyika jana kwenye uwanja wa Mwembe Togwa mkoani Iringa. Airtel Jiunge na Supa5 Ilizinduliwa kwa mara ya kwanza jijini Dar es Salaam hivi karibuni.Ukitaka kujiunga na huduma hiyo ANDIKA SMS YENYE NENO ‘WIKI’  AU WIKI UTUME KWENDA 15548.
 Wakazi mbalimbali wa mjini Iringa wakiendelea kuhamia Airtel na kujipatia huduma mbalimbali zilizokuwa zikipatikana wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya airtel Supa5 yenye lengo la kutoa huduma tano nafuu za huduma za mawasiliano kupitia Airtel kwa wateja wake.

Kundi la wasani mahiri wa muziki wa kizazi kipya,lenye maskani yake Temeke,jijini Dar liitwalo Wanaume Halisi,likiongozwa na Sir Juma Nature (wengine hawapo pichani),wakilishambulia jukwaa vilivyo jana jioni mbele ya umati wa wakazi wa Iringa waliojitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa Mwembe Togwa,mjini humo na kushuhudia uzinduzi wa huduma mpya ya airtel Supa5 yenye lengo la kutoa huduma tano nafuu za huduma za mawasiliano kupitia Airtel.huduma hiyo itaendelea kutambulishwa tena katika mkoa wa Arusha na baadaye jijini Mwanza.
Kundi la wasani mahiri wa muziki wa kizazi kipya,lenya makazi yake Manzese jijini Dar,Tip Top Connection likiongozwa na Madee,Tunda Man na wengineo wakilishambulia jukwaa vilivyo jana jioni mbele ya umati wa wakazi wa Iringa waliojitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa Mwembe Togwa,mjini humo na kushuhudia uzinduzi wa huduma mpya ya airtel Supa5 yenye lengo la kutoa huduma tano nafuu za huduma za mawasiliano kupitia Airtel.huduma hiyo itaendelea kutambulishwa tena katika mkoa wa Arusha na baadaye jijini Mwanza.
Sehemu ya umati wa wakazi wa Iringa uliofurika jana kwenye uwanja wa Mwembe Togwa wakati wa uzinduzi rasmi wa huduma mpya ya airtel Supa5 yenye lengo la kutoa huduma tano nafuu za huduma za mawasiliano kupitia Airtel.Aidha huduma hiyo itatambulishwa tena hivi karibuni katika mkoa wa Arusha na baadaye jijini Mwanza.Airtel Jiunge na Supa 5 Ilizinduliwa kwa mara ya kwanza jijini Dar es Salaam hivi karibuni.Ukitaka kujiunga na huduma hiyo ANDIKA SMS YENYE NENO ‘WIKI’  AU WIKI UTUME KWENDA 15548.
Wasanii chipukizi wa muziki wa bongofleva,waitwao Wavuka Boda wakilishambulia jukwaa mbele ya umati wa wakazi wa Iringa waliojitokeza kwa wingi jana jioni kwenye uwanja wa Mwembe Togwa,mjini humo wakati wa uzinduzi rasmi wa huduma mpya ya airtel Supa5 yenye lengo la kutoa huduma tano nafuu za huduma za mawasiliano kupitia Airtel.huduma hiyo itaendelea kutambulishwa tena katika mkoa wa Arusha na baadaye jijini Mwanza.

My case against mobile phone firms:MAKAMBA

In 2010 mobile phone operators in the country earned about $1 billion but paid only $1.7million in taxes (0.1%).

Taxes paid by mobile phone companies in 2010 in Kenya were $78.3 million, Uganda (a smaller economy than ours) were $31.3million while Rwanda received $14million (more than 7 times what we received during the same period).

At the moment the telecom sector's contribution to GDP = 2.5% (Uganda = 5.2%, Kenya = 9%)

In 2011, the telecom sector grew by 22% (fastest growing sector).

Basing on the industry's rate of growth and cumulative investment, the sector's contribution to the GDP for that period should have been at least 5.3% compared to the current 2.5%.

We need to urgently recheck the sector's tax contribution to our economy.

MATUKIO YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU BOB MAKANI KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE











Picha Zote Kwa HIsani ya Mjengwa Blogu




NEW SINGLE '' LET YOU GO'' FROM ELIUD KAWALA AKA EKA FROM UDOM

Sikiliza Nyimbo yake Mpya Hapa
 

Singer: Eliud kawala a.k.a EKA
Song: Let you go
 Producer: Patrino
Studio: B1 record dodoma
Mixing: KID

This is ma first track for ma fans and am on ma way to give you the best of music you deserve. I count on your support as am preparing my first album titled "MOYO". This song will be accompanied with a video that will be released soon the next month. Music for life. You can send me your comments through my facebook account "Eliud Kawala" and ma mobile phone number 0759385936 or follow me on twitter @eka

PICHA ZA NYUMBA MPYA YA WEMA SEPETU

Wema akiwa na Zamaradi kutoka Clouds TV
Wema, Snura & Zamaradi
 Wema akiwa na James mtu ambaye ametengeneza style yote ya nyuma ya Wema.
Gari yake ya kwanza ilikuwa hii

Gari ya pili na ndio hii na ndio anayoipenda
Hapa ndipo anapoishi Miss Wema Sepetu maeneo ya Kijitonyama.

No comments:

Post a Comment